<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
	xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/"
	 xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" >

<channel>
	<title>Arusha &#8211; Bongofree Tanzania Classified Ads &amp; Local Marketplace</title>
	<atom:link href="https://www.bongofree.com/listing-location/arusha/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>https://www.bongofree.com</link>
	<description>Bongofree Tanzania Classified Ads &#38; Local Marketplace</description>
	<lastBuildDate>Thu, 19 Jan 2023 20:53:21 +0000</lastBuildDate>
	<language>en-US</language>
	<sy:updatePeriod>
	hourly	</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>
	1	</sy:updateFrequency>
	<generator>https://wordpress.org/?v=6.6.5</generator>

<image>
	<url>https://www.bongofree.com/wp-content/uploads/2020/10/favicon.png</url>
	<title>Arusha &#8211; Bongofree Tanzania Classified Ads &amp; Local Marketplace</title>
	<link>https://www.bongofree.com</link>
	<width>32</width>
	<height>32</height>
</image> 
	<item>
		<title>MAGONJWA YA MOYO KUTANUKA DALILI, MADHARA, CHANZO NA TIBA YAKE</title>
		<link>https://www.bongofree.com/listing/magonjwa-ya-moyo-kutanuka-dalili-madhara-chanzo-na-tiba-yake/</link>
					<comments>https://www.bongofree.com/listing/magonjwa-ya-moyo-kutanuka-dalili-madhara-chanzo-na-tiba-yake/#respond</comments>
		
		<dc:creator><![CDATA[Dk Thabith Mohamed]]></dc:creator>
		<pubDate>Thu, 29 Dec 2022 06:11:04 +0000</pubDate>
				<guid isPermaLink="false">https://www.bongofree.com/listing/magonjwa-ya-moyo-kutanuka-dalili-madhara-chanzo-na-tiba-yake/</guid>

					<description><![CDATA[Moyo kutanuka kwa kitalamu tunaita cardiomegally Maana yake moyo umekuwa mkubwa kuriko kawaida. Moyo unatanuka pale misuri yake inapo fanya kazi kupita kiasi ina panuka nakufanya chembe za moyo kutanuka. Kutanuka kwa moyo siyo ugonjwa bali ni dalili za kuwa na ugonjwa ambao ndiyo sababu ya kutanuka kwa moyo Badhii ya sababu zinazo pelekea moyo ...]]></description>
										<content:encoded><![CDATA[<p>Moyo kutanuka kwa kitalamu tunaita cardiomegally</p>
<p>Maana yake moyo umekuwa mkubwa kuriko kawaida.</p>
<p>Moyo unatanuka pale misuri yake inapo fanya kazi kupita kiasi ina panuka nakufanya chembe za moyo kutanuka.</p>
<p>Kutanuka kwa moyo siyo ugonjwa bali ni dalili za kuwa na ugonjwa ambao ndiyo sababu ya kutanuka kwa moyo</p>
<p>Badhii ya sababu zinazo pelekea moyo kutanuka ni<br />
Kupanda kwa presha ya damu<br />
Matatizo katika valve kwenye moyo</p>
<p>Moyo ulio tanuka hauwezi kusambaza damu kwenye maeneo yote ya mwili ukiringanisha na moyo mzima</p>
<p>Chanzo cha moyo kutanuka<br />
1.Kuziba kwa mishipa ya damu<br />
2.Ukuwaji wa valve za moyo usio wa kawaida<br />
3.Ukuwaji wa virusi kwenye moyo<br />
4.Mimba hasa pale mwanamke anapo jifungua<br />
5.Magonjwa ya figo<br />
6.Matumizi ya pombe na sigara<br />
7.Mambukizi ya virusi vya ukimwi<br />
8.Matatizo ya kurithi<br />
9.Matatizo ya tezi ya kurith(tyroid)<br />
10.Shambulio la moyo<br />
11.Mabadiriko ya mapigo ya moyo mara kwa mara<br />
12.Upungufu wa damu.</p>
<p>Daloli za Moyo Kutanuka<br />
1.kushindwa kupumua vizuri<br />
2.Mabadiriko ya mapigo ya moyo<br />
3.Kuvimba kwa miguu na vifundo vya miguu kutokana na kujaa maji<br />
4.Mwili kukosa nguvu na kizungu zungu<br />
5.Maumivu ya kifua<br />
6.Maumivu ya mgongo, mikono au shingo na kupoteza fahamu.</p>
<p>Dalili hizo ni viashiria tosha moyo wako umetanuka.</p>
<p>Uonapo dalili hizo wasiliana namimi sasa upate suruhisho la kudumu tiba mbadala zilizo thibitishwa na mamlaka za afya nchini (TMDA), TFDA, FDA NK&#8230;<br />
PIGA AU TUMA UJUMBE MFUPI<br />
0684450076</p>
]]></content:encoded>
					
					<wfw:commentRss>https://www.bongofree.com/listing/magonjwa-ya-moyo-kutanuka-dalili-madhara-chanzo-na-tiba-yake/feed/</wfw:commentRss>
			<slash:comments>0</slash:comments>
		
		
								<category>Health &amp; Beauty Items</category>
			<location>Arumeru<span class="rtcl-delimiter">,</span> Arusha</location>
			<author>Dk Thabith Mohamed</author>
			<views>182</views>
				</item>
		<item>
		<title>P.I.D PELVICS INFLAMATORY DESEASE</title>
		<link>https://www.bongofree.com/listing/p-i-d-pelvics-inflamatory-desease/</link>
					<comments>https://www.bongofree.com/listing/p-i-d-pelvics-inflamatory-desease/#respond</comments>
		
		<dc:creator><![CDATA[Dk Thabith Mohamed]]></dc:creator>
		<pubDate>Wed, 14 Dec 2022 13:19:58 +0000</pubDate>
				<guid isPermaLink="false">https://www.bongofree.com/?post_type=rtcl_listing&#038;p=3397</guid>

					<description><![CDATA[Pelvic Inflammatory Disease PID Pelvic inflammatory disease, ugonjwa huu unafahamika kama PID, ni maambukizi kwenye via vya uzazi wa mwanamke . PID ni miongoni kwa magonjwa hatari sana kwa mwanamke una madhara makubwa na unaambukizwa kwa njia ya kujamiiana. Ugonjwa huu unaweza ukapelekea uharibifu mkubwa kwenye mfuko wa uzazi,mayai ,mirija ya uzazi au sehemu nyingine ...]]></description>
										<content:encoded><![CDATA[<p>Pelvic Inflammatory Disease PID<br />
Pelvic inflammatory disease, ugonjwa huu unafahamika kama PID, ni maambukizi kwenye via vya uzazi wa mwanamke . PID ni miongoni kwa magonjwa hatari sana kwa mwanamke una madhara makubwa na unaambukizwa kwa njia ya kujamiiana.<br />
Ugonjwa huu unaweza ukapelekea uharibifu mkubwa kwenye mfuko wa uzazi,mayai ,mirija ya uzazi au sehemu nyingine za uzazi wa mwanamke<br />
Na pia Pid ni moja ya chanzo cha ugumba kwa mwanamke ambacho kinaweza kuzuilika.</p>
<p>TAKWIMU ZINAONESHA<br />
Kila mwaka,zaidi ya wanawake milioni moja nchini marekani wanapatwa na ugonjwa huu wa PID,<br />
Matokeo yake zaidi ya wanawake 100000 wanakuwa wagumba kila mwaka.<br />
Zaidi ya hayo idadi kubwa ya mimba zaidi ya 100000 inatungiwa kwenye mirija ya uzazi(ectopic pregnancy) inahusishwa na tatizo hilo la PID.<br />
Kiwango kikubwa cha maambukizi ni kwa wasichana wadogo</p>
<p>VISABABISHI VYA PID<br />
Kwa kawaida mlango wa uzazi (cervix) inazuia bakteria ambao wameingia ukeni wasisambae sehemu zingine za ndani za uzazi<br />
Kama mlango wa uzazi cervix umepatwa na magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya kujamiiana kama kisonono na/au clamydia<br />
Mlango huo wa uzazi cervix unaathirika na unakuwa na uwezo mdogo<br />
wa kuzuia kusambaa kwa bakteria sehemu za ndani za uzazi.<br />
PID inatokea pale vimelea vya magonjwa vinaposafiri kutoka kwenye mlango wa uzazi cervix kwenda sehemu za juu za uzazi.<br />
Aslimia 90 ya PID husababishwa na kutotibiwa ugonjwa wa kisonono na klamidia<br />
Visababibishi vingine vya pid<br />
👉Kutoa mimba<br />
👉Kujifungua<br />
👉Vipimo kwenye mlango wa uzazi</p>
<p>DALILI ZA PID<br />
Dalili za PID zinatofautiana,zinaweza kuwa zifuatazo<br />
👉Maumivu ya tumbo sehemu ya chini au upande wa kulia<br />
👉Kutokwa kwa uchafu ukeni usio wa kawaida wenye rangi ya kijani au ya njano na wakati mwingine una harufu isiyo ya kawaida<br />
👉Kichefuchefu na kutapika<br />
👉Homa ya huu<br />
👉Maumivu wakati wa tendo la ndoa<br />
👉Maumivu wakati wa kukojoa<br />
👉Maumivu sehemu ya kulia upande wa juu wa tumbo<br />
MAMBO YANAYOWEZA KUMUWEKA HATARINI MWANAMKE KUPATA PID<br />
Kuna baadhi ya vitu ambavyo vinamuweka mwanamke katika hatari ya<br />
kupata PID ni kama vifuatavyo<br />
1.Wanawake wenye magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya kujamiiana kama kisonono na klaimidia wako hatarini sana kupata PID<br />
2.Wanawake ambao waliwahi kupata PID wako hatarini kupata tena<br />
3. Wasichana wadogo wapo hatarini kupata PID kuliko wazee.<br />
4.Wanawake wenye wapenzi wengi wako katika hatari ya kupata magonjwa ya zinaa na PID<br />
Baadhi ya tafiti zinaeleza uoshaji wa uke unachangia kupata PID.<br />
.Kuosha uke( Douching) kunaweza pelekea kusukuma bakteria sehemu za juu za via vya uzazi na kuzuia kutoka kwa uchafu ambao mwanamke angeweza kutumia kama ishara ya kwenda kuonana na wataalamu wa Afya mapema<br />
MADHARA YA PID<br />
Kutokea /kujirudia kwa PID kunaweza kusababisha<br />
kutokea kuharibika mirija ya uzazi ambayo inaweza kupelekea<br />
👉Ugumba<br />
👉Mimba kutunga kwenye mirija ya uzazi(ectopic pregnancy)<br />
👉Maumivu makali kwenye shingo ya kizazi<br />
Kati ya wanawake nane (8) wanaougua PID mmoja(1) unakuwa mgumba<br />
JINSI YA KUJIKINGA NA PID<br />
PID inaweza kuzuilika kabisa ,kisababishi kikubwa cha pid ni magonjwa ya zinaa Mambo ya kuzingatia ili uweze kujikinga na PID<br />
👉Epuka kufanya mapenzi na watu wengi<br />
👉Tumia njia za uzazi wa mpango(barrier) kama kondomu<br />
👉Tumia spermicides kwa kila tendo la ndoa hata kama unameza vidonge vya uzazi<br />
👉 Usitumie IUDs kama unawapenzi wengi.<br />
Note<br />
IUDs ni vitu vinavyowekwa ndani ya uke kuzuia mimba<br />
👉Wahi matibabu ukiona dalili zozote za PID au za magonjwa ya zinaa kama kuto=<br />
kwa na uchafu usio wa kawaida ukeni,maumivu kiunoni nk<br />
👉Pia fanya uchunguzi wa afya ya uzazi mara kwa mara ili kama kuna tatizo ligundulike na litibiwe kabla halijasambaa kwenda kwenye viungo vya ndani vya uzazi<br />
MATIBABU YA PID<br />
Antibiotics hutumika kutibu PID kwa awali na kwa matibabu ya PID ya awali antibiotics za kunywa hutumika.<br />
Kama tatizo limekuwa kubwa mgonjwa atapewa antibiotics ya kunywa na pia ya sindano,kama utagundulika na tatizo hili mwenza wako au wenza wako watibiwe hata kama hawana dalili zozote vinginevyo tatizo litaweza kujirudia mtakaposhiriki tendo la ndoa<br />
TATIZO LIKIZIDI LIKAWA KUBWA YANI USAHA UKAVIMBIA ITAKUBIDI UFANYIWE UPASUAJI</p>
<p>TUNA PACKAGE YA SIKU 90 YA DAWA ZA ASILI ZA KUTIBU PID KATIKA LEVEL YOYOTE<br />
KWA USHAURI NA MATIBABU WASILIANA NAMI KWA<br />
NAMBA 0684450076</p>
]]></content:encoded>
					
					<wfw:commentRss>https://www.bongofree.com/listing/p-i-d-pelvics-inflamatory-desease/feed/</wfw:commentRss>
			<slash:comments>0</slash:comments>
		
		
								<category>Health &amp; Beauty Items</category>
			<location>Arumeru<span class="rtcl-delimiter">,</span> Arusha</location>
			<author>Dk Thabith Mohamed</author>
			<views>149</views>
				</item>
		<item>
		<title>BAWASIRI YA NDANI NA NJE DALILI MADHARA VYANZO NA TIBA YAKE</title>
		<link>https://www.bongofree.com/listing/bawasiri-ya-ndani-na-nje-dalili-madhara-vyanzo-na-tiba-yake/</link>
					<comments>https://www.bongofree.com/listing/bawasiri-ya-ndani-na-nje-dalili-madhara-vyanzo-na-tiba-yake/#respond</comments>
		
		<dc:creator><![CDATA[Dk Thabith Mohamed]]></dc:creator>
		<pubDate>Sun, 11 Dec 2022 13:53:43 +0000</pubDate>
				<guid isPermaLink="false">https://www.bongofree.com/listing/bawasiri-ya-ndani-na-nje-dalili-madhara-vyanzo-na-tiba-yake/</guid>

					<description><![CDATA[TIBA YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE} BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE ➖ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kupelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa. CHANZO CHA BAWASIRI ➖ Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva ➖ Tatizo sugu la kuharisha ➖ ...]]></description>
										<content:encoded><![CDATA[<p>TIBA YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE}<br />
BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE<br />
➖ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kupelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa.<br />
CHANZO CHA BAWASIRI<br />
➖ Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva<br />
➖ Tatizo sugu la kuharisha<br />
➖ Ujauzito<br />
➖ Uzito wa mwili kupita kiasi<br />
➖ Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)<br />
➖ Kupata haja kubwa ngumu<br />
➖ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni<br />
Lipo suruhisho piga 0684450076</p>
]]></content:encoded>
					
					<wfw:commentRss>https://www.bongofree.com/listing/bawasiri-ya-ndani-na-nje-dalili-madhara-vyanzo-na-tiba-yake/feed/</wfw:commentRss>
			<slash:comments>0</slash:comments>
		
		
								<category>Others</category>
			<location>Arumeru<span class="rtcl-delimiter">,</span> Arusha</location>
			<author>Dk Thabith Mohamed</author>
			<views>197</views>
				</item>
		<item>
		<title>NYUMBA INAUZWA! /HOUSE FOR SALE!</title>
		<link>https://www.bongofree.com/listing/nyumba-inauzwa-house-for-sale/</link>
					<comments>https://www.bongofree.com/listing/nyumba-inauzwa-house-for-sale/#respond</comments>
		
		<dc:creator><![CDATA[Thika Evaristi]]></dc:creator>
		<pubDate>Sun, 28 Aug 2022 08:16:20 +0000</pubDate>
				<guid isPermaLink="false">https://www.bongofree.com/listing/nyumba-inauzwa-house-for-sale/</guid>

					<description><![CDATA[Mahali: Njiro, Contena. Aina: Nyumba mbili kwenye kiwanja kimoja. Ukubwa: 425 sq meta. Location: Njiro Container. Description: Two houses on one plot. Area: 425 sq meters.]]></description>
										<content:encoded><![CDATA[<p>Mahali: Njiro, Contena.<br />
Aina: Nyumba mbili kwenye kiwanja kimoja.<br />
Ukubwa: 425 sq meta.</p>
<p>Location: Njiro Container.<br />
Description: Two houses on one plot.<br />
Area: 425 sq meters.</p>
]]></content:encoded>
					
					<wfw:commentRss>https://www.bongofree.com/listing/nyumba-inauzwa-house-for-sale/feed/</wfw:commentRss>
			<slash:comments>0</slash:comments>
		
		
								<category>Plots &amp; Land</category>
			<location>Arumeru<span class="rtcl-delimiter">,</span> Arusha</location>
			<author>Thika Evaristi</author>
			<views>195</views>
				</item>
		<item>
		<title>NGIRI INAVYO DHOFISHA NGUVU ZA KIUME</title>
		<link>https://www.bongofree.com/listing/ngiri-inavyo-dhofisha-nguvu-za-kiume/</link>
					<comments>https://www.bongofree.com/listing/ngiri-inavyo-dhofisha-nguvu-za-kiume/#respond</comments>
		
		<dc:creator><![CDATA[Dk Thabith Mohamed]]></dc:creator>
		<pubDate>Mon, 18 Jul 2022 15:05:20 +0000</pubDate>
				<guid isPermaLink="false">https://www.bongofree.com/listing/ngiri-inavyo-dhofisha-nguvu-za-kiume/</guid>

					<description><![CDATA[ngiri UGONJWA WA NGIRI/HERNIA NA UNAVYOATHIRI NGUVU ZA KIUME Ugonjwa huu mara kwa mara huwapata wanaume, ni ugonjwa ambao umesha wakumba wanaume wengi sana. Na kujikuta wanakosa tiba zaidi ya oparesheni. Ugonjwa wa ngiri hujitokeza wakati sehemu ya utumbo inapoteleza na kupenya katikakati ya msuli wa utumbo, na kuingia katika kende moja, au sehemu ya ...]]></description>
										<content:encoded><![CDATA[<p>ngiri</p>
<p>UGONJWA WA NGIRI/HERNIA NA UNAVYOATHIRI NGUVU ZA KIUME</p>
<p>Ugonjwa huu mara kwa mara huwapata wanaume, ni ugonjwa ambao umesha wakumba wanaume wengi sana. Na kujikuta wanakosa tiba zaidi ya oparesheni.</p>
<p>Ugonjwa wa ngiri hujitokeza wakati sehemu ya utumbo inapoteleza na kupenya katikakati ya msuli wa utumbo, na kuingia katika kende moja, au sehemu ya juu ya paja.lakini wakati mwingine hujitokneza pale msuli unaotenganisha mapafu na utumbo unapotoboka na kufanyikia kwa mkusanyiko wa majimaji kwenye sehemu ya juu ya utumbo au sehemu ya chini ya mapafu.</p>
<p>NGIRI ni hali yenye kusababisha maumivu makali sana na mara nyingi huhitaji tiba ya haraka zaidi hata hivo unaweza kuzuwia kupata tatizo hili katika siku za usoni, pamoja na kuyatibu maumivu yanayosababishwa na tatizo hili kwa njia za kiasili na kupona kabisa, kwani ni wengi walougua tatizo hili na wamepona, baada ya kutumia supplements.</p>
<p>VISABABISHI VYA NGIRI<br />
Kuna sababu nyingi zinazopelekea mtu apate ugonjwa wa ngiri, lakini hapa tazitaja chache tu,</p>
<p>Ukosefu wa protini mwilini.<br />
Ukosefu wa chakula cha kutosha chenye protini mwilini, hupelekea kudhoofika kwa utando unatenganisha utumbo na mifupa inayounda kiuno na nyonga, au utando unaotenganisha mapafu na utumbo, ( diagram )</p>
<p>Ajali<br />
Endapo mtu atapata ajali itakayopelekea kutoka kwa shinikizo ( pressure ) katika sehemu laini za mwili zinaziweza kupelekea kupata hernia, basi mtu huweza pata tatizo hili, kwani wakati mwingine tatizo hili hutokea hata maeneo mengine km vile katika mapafu, kichwani, nk.</p>
<p>Kazi ngumu<br />
Hii pia hupelekea mtu kupata tatizo hilo, shughuli zinazohitaji kutumia nguvu kubwa pia zaweza sababisha ugonjwa huu n.k.</p>
<p>DALILI ZA UGONJWA WA NGIRI CHANGA</p>
<p>Dalili za ugonjwa huu wa ngiri ziko nyingi sana kwa hiyo hapa nitataja dalili chache tu.<br />
Nazo ndizo hizi zifuatazo⤵<br />
1:Kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu.</p>
<p>2:Kupiga mingurumo tumboni.</p>
<p>3:Kujaa gesi tumboni.</p>
<p>4:Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.</p>
<p>5:Kupata haja ngumu kama ya mbuzi.</p>
<p>6:Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.</p>
<p>7:Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.</p>
<p>8:Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.</p>
<p>9:Nuru ya macho hupotea taratibu.</p>
<p>10:Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.</p>
<p>11:Huvutwa makende au upande mmoja maumivu.</p>
<p>12:Hupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na puru.</p>
<p>13:Maumivu makali ya mgongo au kiuno</p>
<p>14:Uume kusimyaa na kunywea kama wa mtoto</p>
<p>15:Maumivu kati ya paja na kinena na hupelekea mguu kuwaka moto /kupata ganzi</p>
<p>16:Kupata maumivu katikati ya kifua mithili ya chembe ya moyo (hiatal hernia)</p>
<p>17: Tumbo kujaa na kuonekana kama una kitambi kumbe ni gas.</p>
<p>18:Ukila vitu vyevye sukari nying kama soda nk tumbo huunguruma sana na kujaa gas</p>
<p>19:Kuvimba kwa korodan ama korodan kupanda juu (moja ama zote kwa pamojafahamu</p>
<p>JINSI UGONJWA WA NGIRI/HERNIA UNAVYOATHIRI NGUVU ZA KIUME</p>
<p>Kama ngiri bado ni ndogo. Haiwezi kuathiri chochote katika nguvu za kiume. Hata hivyo, hernia ambayo imeshakuwa kubwa inaweza kuathiri nguvu za kiume.</p>
<p>@Huathiri utendaji wa mishipa ya neva iliyo kwenye uume/korodani na hali ya homoni.<br />
Ukosefu wa homoni ya testosterone inaweza kusababisha upungufu wa nguvu za kiume.</p>
<p>@Upasuaji wa ngiri unaweza kusababisha shida katika korodani kufanya uwezekano wa homoni ya testosterone kuwa chini. Hata hivyo, kwa sababu watu wengi wana korodani mbili, hata kama moja inaweza kuwa na shida, nyingine inaweza kuzalisha viwango vya kutosha vya homoni.</p>
<p>@Ngiri hutokea kwenye maeneo ya tumboni,<br />
Eneo la kinena,eneo la paja kwa juu,<br />
Eneo ambalo mtu amewahi kufanyiwa upasuaji siku za nyuma<br />
Kifuani nk: hata ivyo<br />
Ugonjwa wa Ngiri huwapata watu wa jinsia zote na umri wowote,</p>
<p>@Ngiri pia huweza kusababisha upungufu wa nguvu za kiume kutokana na kuharibu mishipa ya neva iliyo kwenye uume.</p>
<p>@Ngiri huathiri kokwa na pumbu ambavyo baadhi ya viungo vya mwili vilivyomo tumboni hujipenye</p>
<p>Piga 0684450076</p>
]]></content:encoded>
					
					<wfw:commentRss>https://www.bongofree.com/listing/ngiri-inavyo-dhofisha-nguvu-za-kiume/feed/</wfw:commentRss>
			<slash:comments>0</slash:comments>
		
		
								<category>Health &amp; Beauty Items</category>
			<location>Arumeru<span class="rtcl-delimiter">,</span> Arusha</location>
			<author>Dk Thabith Mohamed</author>
			<views>173</views>
				</item>
		<item>
		<title>Dinning table</title>
		<link>https://www.bongofree.com/listing/dinning-table/</link>
					<comments>https://www.bongofree.com/listing/dinning-table/#respond</comments>
		
		<dc:creator><![CDATA[Edward Lotha]]></dc:creator>
		<pubDate>Mon, 18 Jan 2021 13:28:28 +0000</pubDate>
				<guid isPermaLink="false">https://www.bongofree.com/listing/dinning-table/</guid>

					<description><![CDATA[Dinning table ilyotengenezwa kwa mbao ngumu(Loliondo) na viti vyake sita]]></description>
										<content:encoded><![CDATA[<p>Dinning table ilyotengenezwa kwa mbao ngumu(Loliondo) na viti vyake sita</p>
]]></content:encoded>
					
					<wfw:commentRss>https://www.bongofree.com/listing/dinning-table/feed/</wfw:commentRss>
			<slash:comments>0</slash:comments>
		
		
									<price><div class="rtcl-price price-type-negotiable"><span class="rtcl-price-amount amount"><bdi><span class="rtcl-price-currencySymbol">Sh</span>&nbsp;3,500,000</bdi></span></div></price>
						<category>Furniture</category>
			<location>Arumeru<span class="rtcl-delimiter">,</span> Arusha</location>
			<author>Edward Lotha</author>
			<views>333</views>
				</item>
		<item>
		<title>AROGYAM PURE HERBS KIT TO INCREASE PENIS SIZE</title>
		<link>https://www.bongofree.com/listing/arogyam-pure-herbs-kit-to-increase-penis-size/</link>
					<comments>https://www.bongofree.com/listing/arogyam-pure-herbs-kit-to-increase-penis-size/#respond</comments>
		
		<dc:creator><![CDATA[pallavi sharma]]></dc:creator>
		<pubDate>Fri, 18 Dec 2020 06:18:44 +0000</pubDate>
				<guid isPermaLink="false">https://www.bongofree.com/listing/arogyam-pure-herbs-kit-to-increase-penis-size/</guid>

					<description><![CDATA[A myth &#8220;size doesnt matters�, A truth &#8220;IT MATTERS&#8221;� every man must have realized at any moment or other. No matter of shame now. We have introduced a purely herbal kit in which herbal supplements, massage oils &#38; video visualization to demonstrate best way of massage, will make you feel proud. Tags: increase penis size, ...]]></description>
										<content:encoded><![CDATA[<p>A myth &#8220;size doesnt matters�, A truth &#8220;IT MATTERS&#8221;�<br />
every man must have realized at any moment or other. No matter of shame now. We have introduced a purely herbal kit in which herbal supplements, massage oils &amp; video visualization to demonstrate best way of massage, will make you feel proud.</p>
<p>Tags: increase penis size, herbal formula to increase penis size, arogyam pure herbs kit to increase penis size</p>
]]></content:encoded>
					
					<wfw:commentRss>https://www.bongofree.com/listing/arogyam-pure-herbs-kit-to-increase-penis-size/feed/</wfw:commentRss>
			<slash:comments>0</slash:comments>
		
		
								<category>Health &amp; Beauty Items</category>
			<location>Karatu<span class="rtcl-delimiter">,</span> Arusha</location>
			<author>pallavi sharma</author>
			<views>304</views>
				</item>
	</channel>
</rss>
